Mtoto wa kocha Zinadine Zidane wa Real Madrid, Enzo Zidane (kulia) akipongezwa na mwenzeke baada ya kufunga bao lake la kwanza timu hiyo katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Cultural Leonesa kwenye mchezo wa 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania, maarufu kama Copa del Rey Uwanja wa Bernabeu. Real inafuzu kwa ushindi wa jumla wa 13-2 baada ya awaoi kushinda 7-1 ugenini. Mabao mengine ya Real jana yalifungwa na Mariano Diaz matatu, James Rodriguez na Cesar Morgado aliyejifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City hijack Arsenal's move for Jeremy Monga as they step up their bid
to land Leicester's teen star with Gunners falling short of £10m price tag
-
SIMON JONES: The 16-year-old Leicester City winger had been set on a move
to Arsenal and looked destined to sign.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment