Mtoto wa kocha Zinadine Zidane wa Real Madrid, Enzo Zidane (kulia) akipongezwa na mwenzeke baada ya kufunga bao lake la kwanza timu hiyo katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Cultural Leonesa kwenye mchezo wa 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania, maarufu kama Copa del Rey Uwanja wa Bernabeu. Real inafuzu kwa ushindi wa jumla wa 13-2 baada ya awaoi kushinda 7-1 ugenini. Mabao mengine ya Real jana yalifungwa na Mariano Diaz matatu, James Rodriguez na Cesar Morgado aliyejifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LIVERPOOL CONFIDENTIAL: Arne Slot's former assistant REJECTS chance to join
his Anfield staff as new manager's brother reveals how he was coaching 'top
level stuff' at just 14!
-
LEWIS STEELE: The Reds negotiations for Slot were relatively smooth but any
hiccups were down to the number of staff the Dutchman brought with him from
Fey...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment