Christian Eriksen akimrukia Harry Kane kumpongeza baada ya kuifungia bao la pili Tottenham dakika ya 52 kabla ya kukosa penalti dakika ya 58 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton usiku wa jana Uwanja wa St. Mary's kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Spurs yalifungwa na Dele Alli mawili dakika za 19 na 87 na 85' Heung-Min Son dakika ya 85 wakati la wenyeji lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya pili tu ya mchezo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea's Hayes and Kerr win Barclays Manager, Player of the Season awards
-
Chelsea's Emma Hayes has been named as the Barclays FA Women’s Super League
Manager of the Season for 2021/22. Hayes led the Blues to yet another title
win...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni