Kocha wa Barcelona, Luis Enrique akionyesha ishara jana Uwanja wa Jose Rico Perez mjini Alicante wakati wa mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania wakilazimishwa sare ya 1-1 na Hercules ya Daraja la Pili, maarufu kama Segunda B. Bao Barca iliyocheza bila nyota wake Lionel Messi, Neymar na Luis Suarez lilifungwa na Carles Alena dakika ya 58 baada ya David Mainz kutangulia kuwafungia wenyeji dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrice Evra puts his £3.5m five-bedroom Manchester mansion on the market -
but why is there a mural of a Man City legend on wall?
-
Manchester United legend Patrice Evra is selling his former home - which
features a mini mural of an arch-rival who once rented it.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment