Kocha wa Barcelona, Luis Enrique akionyesha ishara jana Uwanja wa Jose Rico Perez mjini Alicante wakati wa mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania wakilazimishwa sare ya 1-1 na Hercules ya Daraja la Pili, maarufu kama Segunda B. Bao Barca iliyocheza bila nyota wake Lionel Messi, Neymar na Luis Suarez lilifungwa na Carles Alena dakika ya 58 baada ya David Mainz kutangulia kuwafungia wenyeji dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LIVERPOOL CONFIDENTIAL: Arne Slot's former assistant REJECTS chance to join
his Anfield staff as new manager's brother reveals how he was coaching 'top
level stuff' at just 14!
-
LEWIS STEELE: The Reds negotiations for Slot were relatively smooth but any
hiccups were down to the number of staff the Dutchman brought with him from
Fey...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment