Kocha wa Barcelona, Luis Enrique akionyesha ishara jana Uwanja wa Jose Rico Perez mjini Alicante wakati wa mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania wakilazimishwa sare ya 1-1 na Hercules ya Daraja la Pili, maarufu kama Segunda B. Bao Barca iliyocheza bila nyota wake Lionel Messi, Neymar na Luis Suarez lilifungwa na Carles Alena dakika ya 58 baada ya David Mainz kutangulia kuwafungia wenyeji dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United outcast Andre Onana signs deal to leave the club - on loan - as
he closes in on rejoining Trabzonspor for the season
-
EXCLUSIVE BY CHRIS WHEELER: Daily Mail Sport can reveal that Onana has
signed the paperwork on the contract, leaving United and Trabzon to
complete the fin...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment