Kocha wa Barcelona, Luis Enrique akionyesha ishara jana Uwanja wa Jose Rico Perez mjini Alicante wakati wa mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania wakilazimishwa sare ya 1-1 na Hercules ya Daraja la Pili, maarufu kama Segunda B. Bao Barca iliyocheza bila nyota wake Lionel Messi, Neymar na Luis Suarez lilifungwa na Carles Alena dakika ya 58 baada ya David Mainz kutangulia kuwafungia wenyeji dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Frank Nazar scores OT power-play goal as Blackhawks beat Utah Mammoth 3-2
-
Frank Nazar scored a power-play goal with 2:24 left in overtime to give the
Chicago Blackhawks a 3-2 victory over the Utah Mammoth on Monday night.
Drew Co...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment