Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 86 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya United yamefunga na Daley Blind dakika ya 39 na Zlatan-Ibrahimovic dakika ya 82 wakati la Sunderland limefungwa na Fabio Borini dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton says he's been visited by police 'four times in three days'
over his tweets and hits out at 'an attempt to intimidate me and my
family'... as he compares the UK to North Korea
-
The ex-Man City footballer has come under fire this year for his vile
tweets about women working in men's football, infamously claiming female
pundits 'sho...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment