• HABARI MPYA

    Wednesday, December 21, 2016

    YANGA WAREJEA KWA KISHINDO MAZOEZINI LEO BAADA YA MGOMO WA SAA 48

    Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam baada ya mgomo wa siku mbili wakishinikiza kulipwa mishahara yao ya Novemba. 
    Wachezaji wa Yanga wamesitisha mgomo baada ya kuahidiwa kulipwa kabla ya Ijumaa
    Juma Mahadhi (kulia) akimiliki mpira pembeni ya Pato Ngonyani
    Geoffrey Mwashiuya akipiga mpira mbele ya Justin Zulu
    Nahodha Nadir Haroub 'Cannavaro' (kushoto) akitafuta maarifa ya kuupitisha mpira mbele ya Hassan Kessy
    Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi ya viungo
    Mkurugenzi wa Ufundi, Hans van der Pluijm akitazama simu yake 
    Wachezaji wa Yanga wamefanya mazoezi mengi leo kabla ya kuingia kwenye mchezo wa Ijumaa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya African Lyon
    Nyuma kulia ni kocha wa mazoezi ya viungo Noel Mwandila 'akiwafua' vijana 
    Hapa ni kikosi kizima, makochja na wachezaji wachezaji wa Yanga
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA WAREJEA KWA KISHINDO MAZOEZINI LEO BAADA YA MGOMO WA SAA 48 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top