Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba (kushoto) akimsikiliza kwa makini Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Alfred Lucas (kulia) jana kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Yanga na African Lyon Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1
Stat shows Bruno is Europe's best creator
-
Fernandes leads the way this term in the Premier League and across the
continent.
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment