• HABARI MPYA

    Saturday, December 24, 2016

    YANGA NA AFRICAN LYON KATIKA PICHA JANA UHURU

    Winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya (kulia) akimtoka kiungo wa African Lyon, Abdallah Mguhi 'Messi' katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1
    Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akituliza mpira kifuani katikati ya wachezaji wa Lyon
    Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Martin akienda kupiga mpira kichwa dhidi ya Abdallah Mguhi wa Lyon
    Abdallah Mguhi akipiga mpira mbele ya kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima
    Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akikosa bao la wazi jana
    Mshambuliaji wa African Lyon, Thomas Maurice (kushoto) akimiliki mpira mbele ya beki wa Yanga, Vincent Bossou
    Beki wa Lyon, Miraj Adam (kushoto) akimdhibiti winga wa Yanga, Deus Kaseke
    Beki wa Yanga, Mwinyi Hajji Mngwali (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Lyon, Bakari Jaffar
    Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga, Mholanzi, Hans van der Pluijm (kushoto) akizungumza na kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa wakati mchezo huo ukiendelea jana
    Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba (katikati) akifuatilia mchezo wa jana kwa umakini kabisa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NA AFRICAN LYON KATIKA PICHA JANA UHURU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top