Winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya (kulia) akimtoka kiungo wa African Lyon, Abdallah Mguhi 'Messi' katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akituliza mpira kifuani katikati ya wachezaji wa Lyon
Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Martin akienda kupiga mpira kichwa dhidi ya Abdallah Mguhi wa Lyon
Abdallah Mguhi akipiga mpira mbele ya kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akikosa bao la wazi jana
Mshambuliaji wa African Lyon, Thomas Maurice (kushoto) akimiliki mpira mbele ya beki wa Yanga, Vincent Bossou
Beki wa Lyon, Miraj Adam (kushoto) akimdhibiti winga wa Yanga, Deus Kaseke
Beki wa Yanga, Mwinyi Hajji Mngwali (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Lyon, Bakari Jaffar
Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga, Mholanzi, Hans van der Pluijm (kushoto) akizungumza na kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa wakati mchezo huo ukiendelea jana
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba (katikati) akifuatilia mchezo wa jana kwa umakini kabisa
Chelsea 1-1 Leicester: The Blues drop more points
-
Chelsea dropped more points at Stamford Bridge following a 1-1 draw with
Leicester City on Thursday evening. James Maddison opened the scoring for
the vis...
Faninfos für das U19-Pokalfinale in Potsdam
-
Am Freitag (20. Mai) spielt die U19 des BVB im DFB-Pokalfinale der Junioren
gegen den Nachwuchs des VfB Stuttgart. Das Spiel wird um 18 Uhr im
Babelsberger...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni