Paul Pogba akiwaongoza wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao lingine la United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 85 kufuatia Grant Leadbitter kuwafungia wageni bao la kuongoza dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Jared Goff, Lions Not 'Close' on Contract After St. Brown,
Sewell Deals
-
Amid the Detroit Lions' pre-draft spending spree, Jared Goff isn't among
the players on the brink of landing a contract extension from the reigning
NFC North…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment