Paul Pogba akiwaongoza wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao lingine la United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 85 kufuatia Grant Leadbitter kuwafungia wageni bao la kuongoza dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrick Vieira: Crystal Palace boss involved in altercation with pitch invader after Everton defeat
-
Crystal Palace manager Patrick Vieira is involved in an altercation with a
supporter during a pitch invasion following the club's dramatic Premier
League d...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni