Paul Pogba akiwaongoza wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao lingine la United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 85 kufuatia Grant Leadbitter kuwafungia wageni bao la kuongoza dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I went back to search for girls who rejected me before fame – Don Jazzy
-
Ace music producer, Don Jazzy has revealed that after hitting fame he went
searching for girls who rejected him in secondary school. The Mavin Records
bo...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment