Eden Hazard akipongezwa na wachezaji wenzake wa Chelsea baada ya kuifungia bao la pili timu hiyo kwa penalti dakika ya 49 kufuatia yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Simon Francis katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC -Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 24 na Steve Cook dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I went back to search for girls who rejected me before fame – Don Jazzy
-
Ace music producer, Don Jazzy has revealed that after hitting fame he went
searching for girls who rejected him in secondary school. The Mavin Records
bo...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment