Eden Hazard akipongezwa na wachezaji wenzake wa Chelsea baada ya kuifungia bao la pili timu hiyo kwa penalti dakika ya 49 kufuatia yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Simon Francis katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC -Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 24 na Steve Cook dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ICC chief prosecutor ousted over sexual misconduct allegations
-
Chief prosecutor Karim Khan was ousted from the International Criminal
Court after a months-long investigation into accusations of sexual
misconduct.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment