Eden Hazard akipongezwa na wachezaji wenzake wa Chelsea baada ya kuifungia bao la pili timu hiyo kwa penalti dakika ya 49 kufuatia yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Simon Francis katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC -Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 24 na Steve Cook dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Swedish court orders detention of Russian captain of tanker boarded off
Sweden
-
A Swedish court on Sunday ordered the detention of the Russian captain of a
ship that was suspected to be sailing under a false flag in the Baltic Sea
and ...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment