Eden Hazard akipongezwa na wachezaji wenzake wa Chelsea baada ya kuifungia bao la pili timu hiyo kwa penalti dakika ya 49 kufuatia yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Simon Francis katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC -Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 24 na Steve Cook dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EXCLUSIVE: Bochum winger Christopher Antwi-Adjei receives Black Stars invite for Kirin Cup in Japan
-
VfL Bochum winger Christopher Antwi-Adjei has been handed Ghana invite for
the Kirin Cup tournament in Japan next month, GHANASoccernet.com can
exclusively...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni