Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia na taji lao la Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA baada ya kuifunga mabao 4-2 Kashima Antlers leo Uwanja wa Nissan mjini Yokohama, Japan katika mchezo uliodumu kwa dakika 120 baada ya dakika 90 kwisha kwa sare ya 2-2. Mabao ya Real yalifungwa na Karim Benzema dakika ya tisa na Cristiano Ronaldo matatu dakika za 60 kwa penalti, 97 na 104 wakati ya Kashima yalifungwa na Gaku Shibasaki yote dakika za 44 na 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta reveals Jurrien Timber is back available for Arsenal after
nine months out injured but refuses to confirm if the Gunners will sign
David Raya permanently
-
Timber's return comes in time for him to play a part in the Gunners' bid to
secure a first Premier League title in 20 years. The Gunners are top of the
table.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment