Wachezaji wa Manchester City, Fernando (kushoto) na Pablo Zabaleta (kulia), wakimdhibiti Mesut Ozil wa Arsenal (katikati) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Etihad, Manchester, England. Man City ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Leroy Sane dakika ya 47 na Raheem Sterling dakika ya 71, baada ya Theo Walcott kutangulia kuifungia Arsenal dakika ya tano
Zelensky denies bizarre claim he took cocaine with Macron in interview with
far-right MAGA influencer
-
The rumour was amplified by Tucker Carlson during an interview with Russian
president Vladimir Putin
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment