• HABARI MPYA

    Monday, December 26, 2016

    MAN CITY YAENDELEZA MOTO LIGI KUU ENGLAND

    Kelechi Iheanacho akimchambua kipa wa Hull City kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 3-0 leo Uwanja wa KCOM. Mabao mengine ya City yamefungea na Yaya Toure kwa penalti dakika ya 72 na Curtis Davies aliyejifunga dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAENDELEZA MOTO LIGI KUU ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top