• HABARI MPYA

    Saturday, December 24, 2016

    GRIEZMANN ALIPOKUTANA NA PORZINGIS MADISON SQUARE

    Mshambuliaji wa Atletico Madrid na Ufaransa, Antoine Griezmann mwenye urefu wa futi 5 na inchi tisa akiwa na mchezaji wa kikapu wa New York Knicks, Kristaps Porzingis mwenye urefu wa futi 7 na inchi tatu (kulia) walipokutana ukumbi wa Madison Square Garden mjini New York, Marekani juzi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GRIEZMANN ALIPOKUTANA NA PORZINGIS MADISON SQUARE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top