• HABARI MPYA

    Thursday, December 22, 2016

    LLORIS AONGEZA MKATABA SPURS HADI 2022

    Kipa namba moja wa Ufaransa, Hugo Lloris akiwa Kocha Mkuu, Mauricio Pochettino na kocha wa makipa, Toni Jimenez baada ya kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Tottenham Hotspur hadi mwaka 2022 akilipwa Pauni 100,000 kwa wiki sawa na mkataba aliosaini mshambuliaji Harry Kane mapema mwezi huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LLORIS AONGEZA MKATABA SPURS HADI 2022 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top