Nyota wa FC Barcelona, Lionel Messi (kulia) na mchezaji mwenzake, Luis Suarez baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou mjini Barcelona. Suarez alifunga mawili dakika za 18 na 67, wakati Messi alifunga moja dakika ya 90 huku la tatu likifungwa na Jordi Alba dakika ya 68 na la Espanyol lilifungwa na David Lopez dakika ya 79
Pressure of representing England has shown - Borthwick
-
England head coach Steve Borthwick says the shirt has "weighed heavy" on
some of his players at times in a disappointing Six Nations campaign.
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment