Nyota wa FC Barcelona, Lionel Messi (kulia) na mchezaji mwenzake, Luis Suarez baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou mjini Barcelona. Suarez alifunga mawili dakika za 18 na 67, wakati Messi alifunga moja dakika ya 90 huku la tatu likifungwa na Jordi Alba dakika ya 68 na la Espanyol lilifungwa na David Lopez dakika ya 79
Rasmus Hojlund is spotted looking bemused at Erik ten Hag's decision to
substitute Kobbie Mainoo in Man United's draw with Burnley - which sparked
furious reaction from fans
-
Rasmus Hojlund (inset) cut a bemused figure as Manchester United manager
Erik ten Hag decided to bring midfielder Kobbie Mainoo (left) off during
Saturday'...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment