Bondia Lolenga Mock (kushoto) kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akizipia na Joseph Marwa wa Tanzania katika pambano la kuwania ubingwa wa Kanda ya Tano Afrika uzito wa Middle ukumbi wa Friends Corner, Manzese, Dar es Salaam Agosti 9 mwaka 1998 lililoandaliwa na Profesa Maji Marefu. Marwa alishinda kwa pointi za majaji wote, ingawa ushindi huo ulilalamikwa na mashabiki na mpinzani wake kwamba ulikuwa wa upendeleo
Troops foil multiple abductions, rescue victims in Plateau, Kaduna
-
Joint Task Force troops have successfully foiled multiple abductions and
rescued several victims across vulnerable corridors in Plateau and Kaduna
states...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment