Bondia Lolenga Mock (kushoto) kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akizipia na Joseph Marwa wa Tanzania katika pambano la kuwania ubingwa wa Kanda ya Tano Afrika uzito wa Middle ukumbi wa Friends Corner, Manzese, Dar es Salaam Agosti 9 mwaka 1998 lililoandaliwa na Profesa Maji Marefu. Marwa alishinda kwa pointi za majaji wote, ingawa ushindi huo ulilalamikwa na mashabiki na mpinzani wake kwamba ulikuwa wa upendeleo
NFL Rumors: Terrell Owens' Son Terique, 49ers Agree to UDFA Contract After
2024 Draft
-
The San Francisco 49ers added Missouri State wide receiver Terique Owens,
the son of Hall of Fame receiver Terrell Owens, as an undrafted free agent
on…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment