Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wao wa 13 mfululizo katika Ligi Kuu ya England baada ya kuilaza 4-2 Stoke City leo Uwanja wa Stamford Bridge. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 34, Willian dakika ya 57 na 65 na Diego Costa dakika ya 85, wakati ya Stoke City yamefungwa na Bruno Martins-Indi dakika ya 46 na Peter Crouch dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Football Focus host hammers BBC's 'crazy' decision to axe
long-running show at end of the season
-
The BBC's decision to axe Football Focus is 'crazy', according to a former
presenter of the long-running show, who was in the hotseat for 20 years.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment