Mshmbuliaji wa Ndanda FC, Riffat Khamis wa pili kushoto akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 na wadhamini wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kampuni ya Vodacom Tanzania baada ya kuwa Mchezaji Bora wa ligi hiyo kwa mwezi Oktoba. Riffat alipewa tuzo hiyo kabla ya mchezo dhidi ya Simba leo Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, ambao Ndanda walifungwa 2-0
I went back to search for girls who rejected me before fame – Don Jazzy
-
Ace music producer, Don Jazzy has revealed that after hitting fame he went
searching for girls who rejected him in secondary school. The Mavin Records
bo...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment