Mshmbuliaji wa Ndanda FC, Riffat Khamis wa pili kushoto akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 na wadhamini wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kampuni ya Vodacom Tanzania baada ya kuwa Mchezaji Bora wa ligi hiyo kwa mwezi Oktoba. Riffat alipewa tuzo hiyo kabla ya mchezo dhidi ya Simba leo Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, ambao Ndanda walifungwa 2-0
Revealed: What the Iranian soccer players wanted to know about Australia
when they were rescued - and why they were afraid of Aussie cops
-
It can now be revealed why the five Iranian footballers granted asylum
initially feared for their future in Australia.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment