Mshmbuliaji wa Ndanda FC, Riffat Khamis wa pili kushoto akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 na wadhamini wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kampuni ya Vodacom Tanzania baada ya kuwa Mchezaji Bora wa ligi hiyo kwa mwezi Oktoba. Riffat alipewa tuzo hiyo kabla ya mchezo dhidi ya Simba leo Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, ambao Ndanda walifungwa 2-0
NFL Rumors: Tee Higgins Eyed Pittman's Contract; Bengals Never Approached
$20M AAV
-
Tee Higgins' future with the Cincinnati Bengals is still up in the air as
he approaches the final season of his current contract, and he reportedly
eyed…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment