Kiungo wa Simba, Said Ndemla akipambana kugombea mpira katikati ya mabeki wa JKT Ruvu, Yussuf Chuma (kusshoto) na Frank Nchmbi (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0
Mshambuliaji wa Simba, Pastory Athanas (kushoto) akimtoka kiungo wa JKT Ruvu, Edward Joseph
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kushoto) akipiga pasi mbele ya kiungo wa JKT Ruvu, Hassan Dilunga
Winga wa Simba, Shiza Kichuya (kushoto) akiwatoka mabeki wa JKT Ruvu
Kiungo wa Simba, Mohammed Ibrahim (kulia) akiwatoka wachezaji wa JKT Ruvu
Kipa wa JKT Ruvu, Hamisi Seif akidaka mpira katikati ya wachezji wa Simba, Pastory Athanas (kulia) na Mohammed Ibrahim (kushoto). Mwingine kulia ni beki wa JKT, Michael Aidan
Beki wa JKT Ruvu, Frank Nchimbi akipiga mpira kichwea dhidi ya mshambuliaji wa Simba, Pastory Athanas
Mshambuliaji wa JKT Ruvu, Mussa Juma (kulia) akimvisha kanzu beki wa Simba, Method Mwanjali
Makamu wa Rais wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' (kulia) akiwa na wadau wengine maarufu wa klabu hiyo, Richard Ndassa (katikati) na Hassan Hassanoo (kushoto)
Maofisa wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na wapenzi wa Simba, kutoka kulia Ahmed Mgoyi, Salum Madadi na Wilfred Kidau
Kaduna gets new NSCDC commandant
-
From Noah Ebije, Kaduna A new state commandant of the Nigeria Security and
Civil Defence Corps (NSCDC) has assumed office at the Kaduna State Command.
Th...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni