Danilo wa Valencia CF akipambana na kugombea mpira dhidi ya Gareth Bale wa Real Madrid katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili. Timu hizo zimetoka 2-2 mabao ya Real yakifungwa na Karim Benzema na Gareth Bale, ya Valencia yakifungwa na Daniel Parejo na Francisco Alcacer Uwanja wa Mestalla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Conor McGregor sends Ryan Garcia X-rated threat and tells boxer to 'get
your head together or kill yourself' after positive drugs test
-
Garcia failed anti-doping tests the day before and the day of his upset win
over Devin Haney last month. The 25-year-old tested positive for the
performanc...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment