Danilo wa Valencia CF akipambana na kugombea mpira dhidi ya Gareth Bale wa Real Madrid katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili. Timu hizo zimetoka 2-2 mabao ya Real yakifungwa na Karim Benzema na Gareth Bale, ya Valencia yakifungwa na Daniel Parejo na Francisco Alcacer Uwanja wa Mestalla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shetland man's lucky escape after drone attacks in Iraq
-
Oil worker Ross Slater said the drones landed metres from his accommodation
but failed to explode
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment