Mbrazil Oscar akishangilia baada ya kuifungia Chelsea dakika ya 29 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst jioni ya leo. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Willian dakika ya 60 na Diego Costa dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The top six stars in the FWA Footballer of the Year voting as
Phil Foden is crowned the winner - with just TWO foreign players included
-
Foden, 23, has enjoyed his best season to date amid City's push for an
astonishing fourth successive Premier League title, emerging Pep
Guardiola's most im...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment