Mbrazil Oscar akishangilia baada ya kuifungia Chelsea dakika ya 29 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst jioni ya leo. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Willian dakika ya 60 na Diego Costa dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: What the Iranian soccer players wanted to know about Australia
when they were rescued - and why they were afraid of Aussie cops
-
It can now be revealed why the five Iranian footballers granted asylum
initially feared for their future in Australia.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment