Mbrazil Oscar akishangilia baada ya kuifungia Chelsea dakika ya 29 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst jioni ya leo. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Willian dakika ya 60 na Diego Costa dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cape Verde remain unbeaten at the World Cup as improbable draw with Uruguay
raises hopes of knockout qualification
-
Against all the odds, World Cup debutants Cape Verde have a very real
chance of qualifying for the knockout stages after coming from behind to
steal a valu...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment