Wachezaji wa Stand United ya Shinyanga, beki Abuu Ubwa (kulia) na winga Haroun Chanongo (kushoto) wakiwa na jezi za TP Mazembe Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) jana baada ya kuanza majaribio yao ya wiki moja kuwania kujiunga na mabingwa hao wa Afrika. Mazembe tayari ina washambuliaji wawili Watanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu ambao wote wapo mbioni kuuzwa Ulaya baada ya misimu minne ya mafanikio Lubumbashi.
Rangers Win Game 1 vs. Hurricanes as Mika Zibanejad's Playoff Run Impresses
NHL Fans
-
The New York Rangers held off the Carolina Hurricanes to secure a 4-3
victory in the 2024 Stanley Cup Playoffs. In front of a raucous Madison
Square Garden…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment