Wachezaji wa Stand United ya Shinyanga, beki Abuu Ubwa (kulia) na winga Haroun Chanongo (kushoto) wakiwa na jezi za TP Mazembe Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) jana baada ya kuanza majaribio yao ya wiki moja kuwania kujiunga na mabingwa hao wa Afrika. Mazembe tayari ina washambuliaji wawili Watanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu ambao wote wapo mbioni kuuzwa Ulaya baada ya misimu minne ya mafanikio Lubumbashi.
Nigeria’s economy contracted in April, fell to 49.4 –CBN
-
• FG’s reforms only good on paper, says Methodist Church By Uche Usim
Nigeria’s economy slowed down in April 2026 after more than a year of
steady growth...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment