Wachezaji wa Stand United ya Shinyanga, beki Abuu Ubwa (kulia) na winga Haroun Chanongo (kushoto) wakiwa na jezi za TP Mazembe Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) jana baada ya kuanza majaribio yao ya wiki moja kuwania kujiunga na mabingwa hao wa Afrika. Mazembe tayari ina washambuliaji wawili Watanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu ambao wote wapo mbioni kuuzwa Ulaya baada ya misimu minne ya mafanikio Lubumbashi.
Bizarre moment Chelsea TRAP referee Paul Tierney in pre-match huddle -
before Cole Palmer exchanges private words with him
-
Tierney looked utterly bewildered as the players leant in around him ahead
of their clash with Newcastle at Stamford Bridge on Saturday afternoon.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment