Wachezaji wa Stand United ya Shinyanga, beki Abuu Ubwa (kulia) na winga Haroun Chanongo (kushoto) wakiwa na jezi za TP Mazembe Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) jana baada ya kuanza majaribio yao ya wiki moja kuwania kujiunga na mabingwa hao wa Afrika. Mazembe tayari ina washambuliaji wawili Watanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu ambao wote wapo mbioni kuuzwa Ulaya baada ya misimu minne ya mafanikio Lubumbashi.
Embarrassment for USA as woeful loss to Italy risks World Baseball Classic
elimination... despite coach thinking they were already through
-
With a roster stacked with stars such as Aaron Judge, Paul Skenes, Bryce
Harper and Cal Raleigh, the Americans were beaten 8-6 by their rivals in
Pool B an...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment