MNIGER WA YANGA MAZOEZINI MKWAKWANI LEO, JE ATASAJILIWA?
Kiungo wa kimataifa wa Niger, Issoufou Boubacar Garba (kushoto) akifanya mazoezi na wenzake leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mgambo JKT. Hata hivyo, Garba bado yuko kwenye majaribio na Yanga haijatangaza kama imemsajili.
FG dismisses fear over economy
-
• Insists Nigeria well positioned to withstand global uncertainties Amid
mounting global economic uncertainty, Nigeria remains firmly positioned to
wea...
Simba book final spot in CAF Confederation cup
-
Simba booked their spot in the final of the CAF Confederation Cup following
a goalless draw against Stellenbosch on Sunday afternoon. The host
continued ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment