Kiungo wa Levante, Ruben Rochina akijaribu kumdhibiti nyota wa Barcelona, Philippe Coutinho katika mchezo wa Robo Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia. Levante ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Erick Cabaco dakika ya nne na Borja Mayoral anayecheza kwa mkopo kutoka Real Madrid dakika ya 18, wakati la Barcelona lilifungwa Coutinho kwa penalti dakika ya 85 na timu hizo zitarudiana Januari 17 Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Portsmouth fans spread HUMAN ASHES on their pitch in a
mid-pitch-invasion ceremony... killing the grass and leaving it damaged for
their last game of the season
-
Thousands of jubilant Pompey fans raced onto the pitch after a 3-2 win over
Barnsley on April 16 took the club up into the Championship.
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment