KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imemfungia mechi tatu mchezaji wa Pamba FC ya Mwanza na kumtoza faini ya Sh. Milioni 2 kwa makosa ya kumpiga refa na kupiga teke mlango wa kuingilia chumba cha kubadilishia nguo hadi kuuharibu.
GONGA HAPA KUSOMA TAARIFA KAMILI YA BODI
0 comments:
Post a Comment