MABINGWA watetezi, Yanga SC wamelazimishwa sare ya bila mabao na wenyeji, Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Kwa sare hiyo, Yanga wanafikisha pointi 31 katika mchezo wa 12, sasa wakilingana kwa pointi na wastani wa mabao na Azam FC ambayo imecheza mechi moja zaidi.
0 comments:
Post a Comment