// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
WANIGERIA WAIKANDA MAN UNITED FULHAM YASHINDA 2-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEWANIGERIA WAIKANDA MAN UNITED FULHAM YASHINDA 2-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
WENYEJI, Manchester United wamechapwa mabao 2-1 na Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Mabao ya Fulham yamefungwa na Wanigeria yote, beki Calvin Chinedu Bassey mzaliwa wa Italia dakika ya 65 na mshambuliaji Alexander Chuka Iwobi dakika ya 90 na ushei, huku bao pekee la Manchester United likifungwa na beki Muingereza, Jacob Harry Maguire dakika ya 89. Kwa ushindi huo, Fulham inafikisha pointi 32 na kusogea nafasi ya 12, wakati Manchester United inabaki na pointi zake 44 nafasi ya sita baada ya wote kucheza mechi 26.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment