// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
JKT TANZANIA YAAMBULIA POINTI MOJA KWA NAMUNGO MBWENI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEJKT TANZANIA YAAMBULIA POINTI MOJA KWA NAMUNGO MBWENI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
JKT TANZANIA YAAMBULIA POINTI MOJA KWA NAMUNGO MBWENI
TIMU ya JKT Tanzania imelazimishwa sare ya bila mabao na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Meja Jenerali Mstaafu Isamuhyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam. Kwa matokeo hayo, JKT Tanzania inafikisha pointi 17 na kusogea nafasi ya 11, wakati Namungo FC imetimiza pointi 19 na kupanda nafasi ya nane baada ya wote kucheza mechi 16.
-
YOUNG Africans have reignited their hopes of reaching the quarterfinals of
the CAF Champions League following a vital 1-0 victory over Al Hilal at
the C...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment