KOCHA Msaidizi wa Simba SC, Suleiman Abdallah Matola amefungiwa mechi tatu kwa kosa la kufanya vurugu kwenye mchezo dhidi ya Azam FC Februari 9 Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Aidha, Kocha wa Fiziki wa Simba, Jean Laurent pia amefungiwa mechi tatu kwa kuhusika kwenye kosa la Matola na wote wawili pia wametozwa Faini ya Sh. 500,000 kila mmoja.
0 comments:
Post a Comment