TIMU ya Taifa ya Futsal jana iliibuka na ushindi wa mabao 5-2 dhidi ya wenyeji, Namibia katika mchezo wa kwanza kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika uliofanyika Uwanja wa Showgrounds Jini Windhoek.
Timu hizo zitarudiana Jijini Dar es Salaam Februari 11 na mshindi wa jumla atafuzu kwenye Fainali za Futsal, michuano ambayo itafanyika kuanza Aprili 8 hadi 17 Jijini Laayoune, Morocco.
0 comments:
Post a Comment