Mwanzo > TFF > JKT QUEENS YAPOKWA POINTI TANO NA FAINI MILIONI 3 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI JKT QUEENS LIGI YA WANAWAKE SIMBA TFF JKT QUEENS YAPOKWA POINTI TANO NA FAINI MILIONI 3 TIMU ya JKT Queens imepokonywa pointi tano na kutozwa Faini ya Sh. Milioni 3 kwa kosa la kutotokea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara dhidi ya Simba SC Januari 8, mwaka huu. Sunday, February 04, 2024 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI JKT QUEENS LIGI YA WANAWAKE SIMBA TFF
0 comments:
Post a Comment