• HABARI MPYA

    Sunday, February 04, 2024

    JKT QUEENS YAPOKWA POINTI TANO NA FAINI MILIONI 3


    TIMU ya JKT Queens imepokonywa pointi tano na kutozwa Faini ya Sh. Milioni 3 kwa kosa la kutotokea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara dhidi ya Simba SC Januari 8, mwaka huu.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JKT QUEENS YAPOKWA POINTI TANO NA FAINI MILIONI 3 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top