// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
HAALAND APIGA ZOTE MBILI MAN CITY YAICHAPA EVERTON 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEHAALAND APIGA ZOTE MBILI MAN CITY YAICHAPA EVERTON 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
HAALAND APIGA ZOTE MBILI MAN CITY YAICHAPA EVERTON 2-0
MABAO ya mshambuliajim Mnorway, Erling Haaland dakika ya 71 na 85 jana yaliwapa Manchester City ushindi wa 2-0dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad Jijini Manchester. Kwa ushindi huo, mabingwa hao watetezi wanafikisha pointi 52 katika mchezo wa 23, ingawa wanabaki nafasi ya pili wakizidiwa pointi mbili na Liverpool ambayo pia imecheza mechi moja zaidi, wakati Everton inabaki na pointi zake 19 za mechi 24 nafasi ya 18.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment