MSHAMBULIAJI Clement Francis Mzize ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa klabu ya Yanga mwezi Januari akiwaangusha wachezaji wenzake, beki Mganda Gift Fred na mzawa, Wilson Chigombo. Ushindi wa tuzo hiyo, Mzize anayejulikana pia kwa jina lake jipya, Walid baada ya kubadili dini na kuwa Muislam atapatiwa kitita en cha Sh. Milioni 3 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya NIC Insurance.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment