MSHAMBULIAJI Clement Francis Mzize ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa klabu ya Yanga mwezi Januari akiwaangusha wachezaji wenzake, beki Mganda Gift Fred na mzawa, Wilson Chigombo.
Ushindi wa tuzo hiyo, Mzize anayejulikana pia kwa jina lake jipya, Walid baada ya kubadili dini na kuwa Muislam atapatiwa kitita en cha Sh. Milioni 3 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya NIC Insurance.
0 comments:
Post a Comment