TIMU ya Liverpool imefanikiwa kutwaa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Chelsea leo katika mchezo uliodumu kwa dakika 120 Uwanja wa Wembley Jijini London. Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, beki Mholanzi, Virgil van Dijk dakika ya 118 akiunganisha kwa kichwa kona ya beki Mgiriki, Konstantinos Tsimikas. GONGA HAPA KUTAZAMA PICHA
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment