TANZANIA PRISONS YAITANDIKA SINGIDA FOUNTAIN GATE 3-1 SOKOINE
WENYEJI, Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Mabao ya Tanzania Prisons yamefungwa na Zabona Mayombya, mawili dakika ya 15 na 73 na Sansón Mbangula dakika ya 59, wakati bao pekee la Singida Fountain Gate limefungwa na Bruno Gomes dakika ya 27. Tanzania Prisons wanafikisha pointi 20 na kupanda nafasi ya sita, wakati Singida Fountain Gate inabaki na pointi 20 na inashukia nafasi ya saba baada ya wote kucheza mechi 16.
Media Accreditation: Uganda Vs South Africa
-
FUFA wishes to inform you that the application process for accreditation to
cover the AFCON Qualifier 2025 match between Uganda and South Africa on
Frida...
CAF Postpones Libya vs Nigeria
-
The Confederation of African Football (CAF) has officially confirmed the
postponement of the AFCON 2025 second-leg match between Nigeria’s Super
Eagles a...
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment