TIMU za KMC na Namungo FC zimegawana pointi baada ya sare ya kufungana mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Mabao ya KMC yamefungwa na Rahim Shomari dakika ya nne na Daruwesh Saliboko dakika ya 50, wakati ya Namungo FC yamefungwa na Meddie Kagere dakika ya 57 na Ibrahim Mkoko dakika ya 61. Kwa matokeo hayo, KMC inafikisha pointi 23, ingawa inabaki nafasi ya tano na Namungo FC inafikisha pointi 20, nayo inabaki nafasi ya sita baada ya wote kucheza mechi 17.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment