// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
DODOMA JIJI NA MASHUJAA ZATOSHANA NGUVU JAMHURI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEDODOMA JIJI NA MASHUJAA ZATOSHANA NGUVU JAMHURI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TIMU ya Dodoma Jiji FC imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Emanuel Mtumbuka alianza kuifungia Mashujaa FC dakika ya 30, kabla ya Hassan Mwaterema kuisawazishia Dodoma Jiji FC dakika ya 43. Kwa matokeo hayo, Dodoma Jiji FC inafikisha pointi 19 nafasi ya saba, wakati Mashujaa inafikisha pointi 10 nafasi ya 15 baada y wote kucheza mechi 15.
Coach Paul Put’s reaction on the CHAN 2024 Draw
-
Uganda Cranes Head Coach Paul Joseph Put expects no pushovers at the CAF
TotalEnergies African Nations Championship (CHAN) KE.TZ.UG 2024. The gaffer
was ...
Revealed: Why CHAN 2024 was postponed
-
The 2024 African Nations Championship (CHAN) has been postponed, announced
the Confederation of African Football (CAF). It will now kick off in August
20...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment