• HABARI MPYA

    Sunday, June 14, 2020

    MWAKALEBELA NA GEORGE WEAH STARS IKITOA SARE NA LIBERIA 1992

    Manahodha David Mwakalebela ‘MP’ wa Tanzania na George Weah wa Liberia wakisalimiana kabla ya mchezo wa Kundi la Saba kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) Agosti 30, mwaka 1992 Jijini Monrovia timu hizo zikitoka sare ya 1-1
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MWAKALEBELA NA GEORGE WEAH STARS IKITOA SARE NA LIBERIA 1992 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top