Lionel Messi akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao la nne dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Mallorca kwenye mchezo wa LaLiga usiku wa jana Uwanja wa Iberostar. Mabao mengine ya Barcelona yamefungwa na Arturo Vidal dakika ya pili, M. Braithwaite dakika ya 37 na Jordi Alba dakika ya 79 na sasa Barca inafikisha pointi 61 katika mchezo wa 28 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Real Madrid ambayo leo inamenyana na Eibar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs Crystal Palace - Premier League LIVE: Arne Slot's side eye
fourth while Tottenham go in search of their first win of the year at
relegated Wolves as rivals West Ham host Everton
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for Saturday's 3pm Premier League games
featuring Liverpool vs Crystal Palace, Wolves vs Tottenham and West Ham vs
Ever...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment