Lionel Messi akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao la nne dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Mallorca kwenye mchezo wa LaLiga usiku wa jana Uwanja wa Iberostar. Mabao mengine ya Barcelona yamefungwa na Arturo Vidal dakika ya pili, M. Braithwaite dakika ya 37 na Jordi Alba dakika ya 79 na sasa Barca inafikisha pointi 61 katika mchezo wa 28 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Real Madrid ambayo leo inamenyana na Eibar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Snooker's biggest ever match? Why hundreds of millions are set to watch
world champion Zhao Xintong and national hero Ding Junhui lock horns at the
Crucible for quarter-final spot
-
The World Championship clash between Chinese superstars Zhao Xintong and
Ding Junhui could be the most watched snooker match ever.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment