Lionel Messi akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao la nne dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Mallorca kwenye mchezo wa LaLiga usiku wa jana Uwanja wa Iberostar. Mabao mengine ya Barcelona yamefungwa na Arturo Vidal dakika ya pili, M. Braithwaite dakika ya 37 na Jordi Alba dakika ya 79 na sasa Barca inafikisha pointi 61 katika mchezo wa 28 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Real Madrid ambayo leo inamenyana na Eibar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle 1-3 Man City: Pep Guardiola's understudies vindicate Erling
Haaland gamble to torment the Toon AGAIN, writes CRAIG HOPE
-
CRAIG HOPE AT ST JAMES' PARK: Pep Guardiola and City have the Indian sign
over Newcastle, and Omar Marmoush is the one casting the spell.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment