Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la nne dakika ya 69 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yalifungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 23, Mohamed Salah na Fabinho na kwa ushindi huo Liverpool inahitaji ushindi katika mchezo ujao dhidi ya Manchester City Julai 2 kutawazwa rasmi kuwa mabingwa wapya wa England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England World Cup plans rocked with Tino Livramento injured in training and
set to miss the tournament - with Chelsea star in line to replace him
-
Tino Livramento is set to be ruled out of the World Cup through injury. The
FA are yet to confirm the news, but The Telegraph have reported the
23-year-old...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment