Wachezaji wa Yanga SC wakiwa Bungeni Jijini Dodoma leo pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza. Kikosi cha Yanga kimetambulishwa leo Bungeni baada ya kuwasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wake wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Jumatano dhidi ya JKT Tanzania Uwanja wa Jamhuri
Ben James hires veteran caddie Tim Tucker for pro debut
-
Ben James has hired veteran caddie Tim Tucker, known for his work with
Bryson DeChambeau, for his pro debut this week at the RBC Canadian Open.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment