Wachezaji wa Yanga SC wakiwa Bungeni Jijini Dodoma leo pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza. Kikosi cha Yanga kimetambulishwa leo Bungeni baada ya kuwasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wake wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Jumatano dhidi ya JKT Tanzania Uwanja wa Jamhuri
Manchester United 'attempting to HIJACK Lyon move for Tyrell Malacia - who shares agent with de Jong
-
Lyon had reportedly secured a verbal agreement for the Feyenoord star. But
United are hoping to gazump their move for Malacia, who shares an agent
with Fre...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni