Wachezaji wa Yanga SC wakiwa Bungeni Jijini Dodoma leo pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza. Kikosi cha Yanga kimetambulishwa leo Bungeni baada ya kuwasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wake wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Jumatano dhidi ya JKT Tanzania Uwanja wa Jamhuri
NFL Rumors: Jaycee Horn's $12.5M Panthers Contract Option Picked Up for
2025 Season
-
A busy weekend for the Carolina Panthers continued with cornerback Jaycee
Horn set to have his fifth-year option picked up. Per NFL Network's Ian
Rapoport,…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment