Wachezaji wa Yanga SC wakiwa Bungeni Jijini Dodoma leo pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza. Kikosi cha Yanga kimetambulishwa leo Bungeni baada ya kuwasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wake wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Jumatano dhidi ya JKT Tanzania Uwanja wa Jamhuri
Raiders Rumors: 'A Lot of Momentum Building' For Lions' Ben Johnson to Be
Hired as HC
-
The buzz surrounding Detroit Lions offensive coordinator Ben Johnson as a
head coaching candidate is growing louder ahead of the divisional round.
There is...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment