• HABARI MPYA

    Monday, June 15, 2020

    KIKOSI CHA YANGA SC KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MAWAZIRI WA MICHEZO BUNGENI JIJINI DODOMA

    Wachezaji wa Yanga SC wakiwa Bungeni Jijini Dodoma leo pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza. Kikosi cha Yanga kimetambulishwa leo Bungeni baada ya kuwasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wake wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Jumatano dhidi ya JKT Tanzania Uwanja wa Jamhuri
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKOSI CHA YANGA SC KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MAWAZIRI WA MICHEZO BUNGENI JIJINI DODOMA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top