Nyota wa Everton, Tom Davies akikosa bao la wazi baada ya kugongesha nguzo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya mahasimu wao, Liverpool uliomalizika kwa sare ya 0-0 Uwanja wa Goodison Park usiku wa jana. Sasa Liverpool watasubiri kushinda dhidi ya Crystal Palace ili kutangaza ubingwa na hiyo ni iwapo Manchester City hawatashinda dhidi ya Burnley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
National Juneteenth Museum In Fort Worth Presents 2nd Freedom Vibes
Festival June 11-20
-
After debuting last year, the National Juneteenth Museum once again hosts
its signature annual event, Freedom Vibes, a festival running June 11th
through t...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment