Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga kwa penalti dakika ya 23 Juventus ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Bologna usiku wa jana Uwanja wa Renato Dall'Ara, bao la pili likifungwa na Paulo Dybala dakika ya 36. Kwa ushindi huo, Juventus inafikisha pointi 66 baada ya kucheza mechi 27 na kuendelea kuongoza Serie A kwa pointi nne zadi ya Lazio yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fulham look to sign Wolfsburg fullback Kevin Mbabu for around £8m
-
Fulham have held talks over an £8m move for Wolfsburg right-back Kevin
Mbabu as they consider cheaper options to Liverpool's Neco Williams. Fulham
have bee...
Dakika 28 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni