Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga kwa penalti dakika ya 23 Juventus ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Bologna usiku wa jana Uwanja wa Renato Dall'Ara, bao la pili likifungwa na Paulo Dybala dakika ya 36. Kwa ushindi huo, Juventus inafikisha pointi 66 baada ya kucheza mechi 27 na kuendelea kuongoza Serie A kwa pointi nne zadi ya Lazio yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FC Barcelona Could Lose Another Potential Signing To Real Madrid
-
After emerging as a frontrunner for Julian Alvarez, Real Madrid could rival
FC Barcelona for the signing of another player in the transfer window.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment