Kiungo Mbrazil, Carlos Henrique Casemiro akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao pekee dakika ya 45 akimalizia pasi ya mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Espanyol kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa RCDE. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 71 baada ya kucheza mechi 32, sasa Los Blancos wakiwazidi pointi mbili mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mavericks Rumors: Goran Dragic Among Targets If Jalen Brunson Leaves for Knicks
-
Dallas Mavericks point guard Jalen Brunson is reportedly set to join the
New York Knicks when free agency opens on "Sources close to the process say
Brunso...
Dakika 21 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni