Kiungo Mbrazil, Carlos Henrique Casemiro akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao pekee dakika ya 45 akimalizia pasi ya mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Espanyol kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa RCDE. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 71 baada ya kucheza mechi 32, sasa Los Blancos wakiwazidi pointi mbili mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emotional David Moyes receives warm reception from Everton fans ahead of
kick-off against Aston Villa - as Scot makes his Goodison Park return
nearly 12 years after leaving
-
Moyes briefly wandered on to the pitch in the moments before the game to
wave to fans and looked emotional as he sealed his return to the club he
left in 2...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment