Kiungo Mbrazil, Carlos Henrique Casemiro akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao pekee dakika ya 45 akimalizia pasi ya mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Espanyol kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa RCDE. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 71 baada ya kucheza mechi 32, sasa Los Blancos wakiwazidi pointi mbili mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Meloni meets Macron and Fico with war in Ukraine topping talks agenda
-
Talks with Slovakia's Prime Minister Robert Fico centred on lasting peace
in Ukraine while a working dinner with French President Emmanuel Macron was
seen ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment