Willian akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la pili kwa penalti dakika ya 78 ikiilaza Manchester City 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja Stamford Bridge, London. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Christian Pulisic dakika ya 36 kabla ya Kevin De Bruyne kuisawazishia Man City dakika ya 55 ambayo ilimaliza pungufu kufuatia Fernandinho kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 77 kwa kuchez rafu. Kwa ushindi huo, Chelsea inafikisha pointi 54 baada ya kucheza mechi 31, ingawa inabaki nafasi ya nne nyuma ya Leicester City wenye pointi 55, Manchester City pointi 63 na Liverpool pointi 86 ambao sasa ni mabingwa rasmi wa England baada ya maka 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: LeBron James, Anthony Davis 'Concerned' with Lakers' Ability to
Make Upgrades
-
Faced with the possibility of having to go through the play-in tournament
once again just to make the postseason, the duo of LeBron James and Anthony
Davis…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment