Willian akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la pili kwa penalti dakika ya 78 ikiilaza Manchester City 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja Stamford Bridge, London. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Christian Pulisic dakika ya 36 kabla ya Kevin De Bruyne kuisawazishia Man City dakika ya 55 ambayo ilimaliza pungufu kufuatia Fernandinho kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 77 kwa kuchez rafu. Kwa ushindi huo, Chelsea inafikisha pointi 54 baada ya kucheza mechi 31, ingawa inabaki nafasi ya nne nyuma ya Leicester City wenye pointi 55, Manchester City pointi 63 na Liverpool pointi 86 ambao sasa ni mabingwa rasmi wa England baada ya maka 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool open talks with Feyenoord after identifying Arne Slot as the
ideal candidate to succeed Jurgen Klopp... as Reds face £8.5m compensation
fee to land the Dutchman
-
Slot, who was considered by both Tottenham and Chelsea last summer, has
found success since joining the Dutch side in 2021 and has become one of
the most p...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment