Kiungo wa Simba SC kutoka Msumbiji, Luis Miquissone (kushoto) akimpongeza mshambuliaji na Nahodha wa timu hiyo, John Raphael Bocco baada ya kufunga mabao mawili dakika za 34 na 75 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya KMC jioni ya leo kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Mo Simba Arena, Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Bao lingine la Simba SC limefungwa na Ibrahim Ajibu dakika ya 88, wakati la KMC limefungwa na Charles Ilamfya dakika ya 30. KMC jana iliwachapa Yanga 3-0 katika mchezo mwingine wa kirafiki na Simba leo asubuhi imeifungaTransit Camp 4-2 hapo hapo Bunju
Snooker's biggest ever match? Why hundreds of millions are set to watch
world champion Zhao Xintong and national hero Ding Junhui lock horns at the
Crucible for quarter-final spot
-
The World Championship clash between Chinese superstars Zhao Xintong and
Ding Junhui could be the most watched snooker match ever.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment