Wachezaji wa Bayern Munich wakimpongeza Robert Lewandowski baada ya kufunga bao la pili dakika ya 74 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Eintracht Frankfurt kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ujerumani, maarufu kama DFB Pokal usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich. Bao lingine la Bayern Munich lilifungwa na Ivan Perisic dakika ya 14, wakati la Eintracht Frankfurt lilifungwa na Danny da Costa dakika ya 69 na sasa Bavarian watakutana na Bayer Leverkusen katika fainali mwezi ujao Berlin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Snooker's biggest ever match? Why hundreds of millions are set to watch
world champion Zhao Xintong and national hero Ding Junhui lock horns at the
Crucible for quarter-final spot
-
The World Championship clash between Chinese superstars Zhao Xintong and
Ding Junhui could be the most watched snooker match ever.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment