Neal Maupay akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Brighton & Hove Albion dakika ya 90 ushei ikiilaza Arsenal 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Amex. Bao la kwanza la Brighton limefungwa na Lewis Dunk dakika ya 75 kufuatia Nicolas Pepe kuanza kuifungia Arsenal dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mauricio Pochettino accuses his Chelsea players of 'giving up' in 5-0
London derby defeat at Arsenal as Blues boss blasts: 'When we have bad
days, we are so bad'
-
KIERAN GILL AT THE EMIRATES: This performance piled the pressure back on
Pochettino, who admitted they will never deserve European football if they
perform...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment