Neal Maupay akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Brighton & Hove Albion dakika ya 90 ushei ikiilaza Arsenal 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Amex. Bao la kwanza la Brighton limefungwa na Lewis Dunk dakika ya 75 kufuatia Nicolas Pepe kuanza kuifungia Arsenal dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Apple is bringing a more 'mainstream' AI to its customers: Analyst
-
Apple (AAPL) showcased its new AI-powered Siri (Siri AI) at its 2026
Worldwide Developers Conference (WWDC), a long-awaited entry into the AI
race from the...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment