Neal Maupay akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Brighton & Hove Albion dakika ya 90 ushei ikiilaza Arsenal 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Amex. Bao la kwanza la Brighton limefungwa na Lewis Dunk dakika ya 75 kufuatia Nicolas Pepe kuanza kuifungia Arsenal dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why I left law for real estate, fashion business –Tomilola Oyesiji
-
Tomilola Tokunbo Oyesiji is the founder of the fashion brand Beau Et Glam
Signatures that specializes in custom-made clothing and fashion styling.
The po...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment