• HABARI MPYA

    Sunday, June 14, 2020

    BAYERN YASHINDA 2-1 NA KUKARIBA TAJI LA NANE MFULULIZO BUNDESLIGA

    Leon Goretzka akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Bayern Munich dakika ya 86 ikiilaza Borussia Monchengladbach 2-1 katika mchezo wa Bundesliga usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena. Bao la kwanza la Bayern Munich limefungwa na Joshua Kirkzee dakika ya 26, kabla ya Benjamin Pavard kujifunga dakika ya 37 akijarbu kuokoa krosi ya Patrick Herrmann na kwa ushindi huo Bavarian wanafikisha pointi 73 baada ya kucheza mechi 31 na sasa wanahitaji ushindi mmoja zaidi kutwaa taji la nane mfululizo la Bundesliga  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BAYERN YASHINDA 2-1 NA KUKARIBA TAJI LA NANE MFULULIZO BUNDESLIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top