Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 45 na ushei kabla ya Kevin De Bruyne kufunga la pili dakika ya 51 kwa penalti na Phil Foden kufunga la tatu dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Arsenal usiku wa Jumatano Uwanja wa Etihad Jijini Manchester.
We tell African stories in the US – George Elijah Otumu, ED, Naija
Standard, USA
-
By Henry Akubuiro With close to three decades of media practice in Nigeria
and the United States, George Elijah Otumu has made a name for himself in
the ...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment